Kozi za Muda Mfupi VETA Dodoma 2026

Bonyeza KUJIUNGA NASI WHATSAPP Kwa waliochaguliwa kidato cha tano 2026, Matokeo ya kidato cha sita 2026 kujiunga na vyuo, nafasi za kazi, matangazo mbalimbali Ajira mpya kutoka Serikalini, Kampuni, Taasisi mbalimbali TAESA, Viwandani, Internships.

Chuo cha Ufundi Stadi Dodoma (VETA Dodoma) kinatoa kozi mbalimbali za muda mfupi zinazolenga kuwajengea washiriki ujuzi wa vitendo kwa ajili ya ajira na kujiajiri. Chuo kinapatikana Dodoma City na kinatoa mafunzo katika fani za ujenzi, umeme, udereva, TEHAMA, ushonaji, huduma za hoteli na nyingine nyingi.

Bonyeza hapa kutuma maombi Chuo cha VETA 2026

Mawasiliano ya Chuo

  • Jina la Chuo: Chuo cha Ufundi Stadi Dodoma (VETA Dodoma)
  • Anwani: S. L. P. 2197, Dodoma, Tanzania
  • Simu: 0784 997 634
  • Nukushi: +255 23 22275
  • Barua Pepe: dodomarvtsc@veta.go.tz

Orodha ya Kozi za Muda Mfupi VETA Dodoma 2026

Na.Jina la FaniMudaAda (TSh)
1Udereva wa Awali (Basic Driving)Mwezi 1240,000
2Udereva wa Abiria (PSV)Wiki 2300,000
3Kozi ya Kukumbushia Udereva (Driving Refresher)Wiki 1100,000
4Udereva wa Magari ya Mizigo (Truck Driving)Wiki 2400,000
5VIP Daraja la Pili (VIP Grade II)Wiki 2500,000
6Ufundi Bomba (Plumbing and Pipe Fitting – STG 1)Miezi 3300,000
7Ufundi Umeme Hatua ya Kwanza (Electrical Installation – STG 1)Miezi 3300,000
8Ufundi Umeme Hatua ya Pili (Electrical Installation – STG 2)Miezi 3320,000
9Ufundi Umeme Hatua ya Tatu (Electrical Installation – STG 3)Miezi 3320,000
10Ufundi Magari (Motor Vehicle Mechanics)Miezi 3300,000
11Uchoraji Ramani kwa Kompyuta (AutoCAD Skills)Wiki 6300,000
12Utunzaji wa Bustani (Garden Maintenance)Miezi 3300,000
13Teknolojia ya Umeme wa Jua (Solar Power Technology)Miezi 3300,000
14Utengenezaji wa Milango na Madirisha ya AluminiMiezi 3415,000
15Steel FixingMiezi 3300,000
16Usafi wa Vyumba na Mazingira (Basic Housekeeping)Miezi 3300,000
17Mapishi (Food Production)Miezi 3415,000
18Huduma za Vyakula na VinywajiMiezi 3300,000
19Front Office OperationsMiezi 3300,000
20Ukadiriaji wa Vifaa na Gharama za UjenziMiezi 3300,000
21Ujenzi wa Mifumo ya Maji TakaMiezi 3340,000
22Land Scoping (Upimaji Ardhi)Miezi 3340,000
23Ususi na Urembo (Hair Dressing and Beautification)Miezi 3415,000
24Mikato ya Nyama (Meat Cuts)Wiki 2680,000
25Uhifadhi wa Ngozi za WanyamaWiki 2680,000
26Utengenezaji wa SausageWiki 2390,000
27Utengenezaji wa Tofali za InterlockingWiki 2290,000
28Utengenezaji wa Kolavati (Culvert Pipes)Wiki 2180,000
29Upachikaji wa Marumaru (Floor & Wall Tiles Fixing)Miezi 3180,000
30Utengenezaji wa Rangi (Colour Making)Miezi 3300,000
31Basic ElectronicsMiezi 3300,000
32Basic Arc WeldingMiezi 3300,000
33Basic Gas WeldingMiezi 3300,000
34Basic Sign WritingMiezi 3300,000
35Udereva wa BajajiWiki 2105,000
36Matumizi ya Msingi ya KompyutaWiki 2250,000
37Udereva wa Pikipiki (Motorcycle Driving)Wiki 270,000
38Matengenezo ya Pikipiki (Motorcycle Repair)Miezi 3300,000
39Ujenzi (Masonry and Bricklaying)Miezi 3300,000
40Udhibiti wa Maji Vijijini (Rural Water Management)Miezi 3415,000
41Mafunzo ya Pampu za Maji za Nishati ya JuaMiezi 3525,000
42Ufundi wa Simu (Phone Repair)Miezi 3350,000
43Usafi wa Vyumba, Mazingira na NguoMiezi 3500,000
44Mafunzo ya Msingi ya Ukatibu MuhtasiWiki 2500,000
45Mafunzo ya Mhudumu wa Ofisini (Office Attendant)Wiki 2300,000
46Utengenezaji wa Batiki na Sabuni za MajiWiki 2150,000
47Upambaji wa Kumbi za ShereheMiezi 4350,000
48Utengenezaji wa Sandals za Kimasai na UjasiriamaliMiezi 3200,000
49Ushonaji (Tailoring)Miezi 3500,000
50Useremala (Carpentry and Joinery)Miezi 3300,000

Faida za Kusoma VETA Dodoma

  • Mafunzo yanazingatia vitendo na mahitaji ya soko la ajira.
  • Kozi nyingi huchukua muda mfupi wa wiki chache hadi miezi michache.
  • Wahitimu hupata ujuzi wa kujiajiri au kuajiriwa.
  • Kuna kozi za teknolojia mpya kama Solar Power Technology, Phone Repair, AutoCAD, na Basic Electronics.

Hitimisho

VETA Dodoma inatoa zaidi ya kozi 50 za muda mfupi katika sekta za udereva, ujenzi, umeme, TEHAMA, ushonaji, useremala, huduma za hoteli, urembo, uchomeleaji vyuma, na ujasiriamali. Ada zinaanzia TSh 70,000 kwa kozi fupi hadi TSh 680,000 kwa baadhi ya kozi maalumu, hivyo kuwapa wanafunzi na wajasiriamali fursa ya kupata ujuzi unaohitajika katika soko la ajira la Tanzania.

Soma zaidi: Walioitwa Kazini Sekretarieti ya Ajira Leo Julai 29, 2026